iqna

IQNA

ujumbe wa hija
Hija 1444
Maelfu ya waumini Waislamu wanaendeea kuondoka katika mji mtakatigu wa Makka baada ya kumaliza ibada ya killa mwaka ya Hija ambayo mwaka huu imesadifiana na msimu wa joto kali.
Habari ID: 3477218    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

TEHRAN (IQNA) Wasomi na wanazuoni wakubwa wa Kiislamu wamekutaja kwa njia ya intaneti na kujadili nukta tofauti za ujumbe wa Hija mwaka huu uliotolewa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Seyed Ali Khamenei
Habari ID: 3474124    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe kwa Mahujaji
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa mataifa ya Waislamu kuungana kukabiliana na njama ya Marekani ya kile inachokitaja kuwa eti ni 'Muamala wa Karne' kuhusu kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3472077    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/10